+10 344 123 64 77

Monday, May 18, 2015

DUUUU!!!! MWIZI WA MTOTO ANASWA HODDINII

Dustan Shekidele, Moro
SIKU chache baada ya gazeti hili kuripoti kuibiwa kwa mtoto lrene Daniel mwenye umri wa siku 34, mkazi wa Kilakala, mkoani hapa, habari njema ni kwamba mwizi wa mtoto huyo amenaswa laivu, Ijumaa Wikienda lina full storY.


Mama aliyeibiwa mtoto wake Mei 8 mwaka huu mkoani Morogoro.
Mtoto huyo aliibiwa kimafia Mei 8, mwaka huu wakati mama yake Martha Masawe akiwa kwenye foleni katika Kliniki ya Nunge mkoani hapa.
Baada ya habari hiyo kuchapishwa Mei 10, mwaka huu, wananchi…

0 comments:

Post a Comment