+10 344 123 64 77

Monday, May 11, 2015

HABARI!!! KAMA WEWE NI SHABIKI WANGU==>> NINAJAMBO HAPA....soma zaidi

Kama Wewe ni Shabiki wa Kitale, Ana Jambo Hapa

Kuna watu bwana akili zao sijui hata zipoje.?? eti mtu tu ananitumia sms anadai kwamba kutokana na unavyoigiza kama mtumiaji wa madawa ya kilevya ( TEJA ) Acha kwa sababu watoto wetu mtaani wanakuiga matokeo yake wanakuwa mateja kweli.....Ebu jamani nisaidieni watu kama hawa wanaonitumia sms za namna hii mimi niwajibu vipi???
naomba msaada wwa kimawazo hapo

0 comments:

Post a Comment