+10 344 123 64 77

Monday, June 8, 2015

IN MUSIC!!! BABY MADAHA APOTEZEA BONGO FLEVA KWA MDAA...KIVIPI??? BOFYA HAPA KUANGALIA KIUNDANI ZAIDI

Baby Madaha Kuikacha Bongo Fleva kwa Muda
     
    NI Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Baby Madaha ameamua kwasasa kijikita kwenye uigizaji zaidi kusimama kwa muda kufanya muziki kutokana na changamoto nyingi ambazo zinahitaji uvumilivu.
    Baby Madaha alieleza kuwa moja ya changamoto  za muziki, na hasa unapokuwa chini ya >>>manejimenti' ya kampuni ni kukosa uhuru wa maamuzi<<<<

    0 comments:

    Post a Comment