+10 344 123 64 77

Saturday, July 18, 2015

AWARD IN NEWYORK CITY!!!!!.........DIAMOND IS IN SIDE.... SOMA ZAIDI JUU YA TAMASHA HILO

Ni neema nyingine kwa Diamond na Vanessa Mdee baada ya kutajwa  kuwania tuzo za MTV MAMA za nchini Africa Kusini zinazotarajiwa kufanyika leo usiku huko Durban, Afrika Kusini, hivi karibuni  wasanii wametajwa tena kuwania tuzo zinazojulikana kama African Entertainment Awards (AEA) za nchini Marekani.
Kwenye tuzo hizo za  African Entertainment, Diamond Platnumz ametajwa katika vipengele  viwili ikiwa ni kipengele cha Hottest Male single of the Year na wimbo wake wa ‘Ntampata wapi’ unaoshindana na wimbo wa Aye wa Davido, Originally wa Fally Ipupa, Get Low wa DellonFrancis na Lobiwa R2bees.
Kipengele kingine anachowania Diamond ni cha Best Male Artist of the Year akishindana na Fally Ipupa, eddy Kenzo, Wizkid na Sarkodie

0 comments:

Post a Comment