+10 344 123 64 77

Sunday, July 19, 2015

NI Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate........ Jokate Amwaga Machozi, asema Ipo Siku Mungu Atamuinua==>> SOMA ZAIDI HAPA











Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.   Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi; "Mbona Bado, Mtanyooka tu.." @ diamondplatnumz   Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond. 

0 comments:

Post a Comment