+10 344 123 64 77

Sunday, October 11, 2015

HAWA NI MASTAA WALIOINGIA KWENYE LIST YA KUWA NA WATOTO WENGI...BOFYA KUWAJUA HAPA


Siku hizi kumekuwa na Taasisi zinazohamasisha watu kufanya uzazi wa mpango.. wapo wanaofuata utaratibu lakini wengine hawafuati utaratibu huo kabisa.
Wapo wanaoamini kwamba nchi zilizoendelea wanafatilia sana ishu ya uzazi wa mpango, lakini kumbe wako wengine hawana mpango huo kabisa!!
Ninayo hii list ya mastaa ambao wana idadi kubwa ya watoto tofauti ya matarajio ya wengi.
beks
Familia ya David Beckham na mke wake Victoria, wana watoto wanne Brooklyn, Romeo, Cruz, na Harper

p1
Paul McCartney ana watoto watano, ambao ni Stella, Heather, Mary, James na  Beatrice

p2
Arnold Schwarzenegger ana watoto watano Patrick, Joseph, Katherine, Christina, na Christopher.

p3
Mwigizaji Chris O’Donnell na mkewe Caroline wana watoto watano Lily, Finley, Christopher, Maeve, na Charles.

p4
Kris Jenner ana watoto sita Kim, Kourtney, Khloe,  na Rob alizaa na mwanaume mwingine huku Kylie na Kendall Jenner akizaa na Bruce Jenner

p5
Fashion model Kevin Federline ana watoto sita Peyton, Kori, Kaleb, Jordan, Jayden, na Sean,aliozaa na Victoria pamoja na Britney Spears aliyezaa naye mtoto mmoja.

p6
Mwigizaji Steven Spielberg ameigiza movie mbalimbali kama Jurassic Park, Titanic, Schindler’s List,ana watoto sita Sasha, Max, Destry, Sawyer, Theo, na Mikaela,aliyezaa na Amy Irving pamoja na Kate Capshaw

p8
Marehemu Bob Marley ni moja kati ya mastaa wa muziki wa Raggae, 

0 comments:

Post a Comment