+10 344 123 64 77

Friday, May 15, 2015

DUUU!!! WASTARA NA STARA THOMASI KUMBE HAWA NI NDUGU????====>>fuatilia hapa kisa kamili

Kumbe Wastara na Stara Thomas ni Ndugu!

     

    Staa watu wa Bongo Movies  Wastara Juma leo kupitia ukutrasa wake mtandaoni ametoboa kuwa staa wa Bongo Fleva Wastara Thomas ni ndugu kitu ambacho hata yeye mwenye kimemshangaza.
    Wastara alibandika picha hiyo hapo juu ana kuiandikia maelezo haya yafuatayo.=====>>>fuatilia
    Wastara wa 4,  bibi Stara, mama Stara, dada Stara, mdogo Stara, ilo ndilo jina langu halisi nililopewa na bibi yangu huyu hapo mzaa mama usishangae kumuona Stara tomath hata mimi nilisahangaa jina ilo kalipata wapi lakini maswali yameisha leo baada kukutana kwenye msiba wa bibi yake mzaa mama ambaye ndio mwenye jina ilo lilonifikia mpka mim kuitwa stara ambaye nami ni bibi yangu Mungu amrehemu bibi yetu wajina letu.
    Umejifunza nini hapo?
    hebu tupe  maoni yako

    0 comments:

    Post a Comment