+10 344 123 64 77

Monday, June 8, 2015

BASATA!!! YAMPIGA STOP AMANDA!!! BOFYA HAPA UANGALIE KWA JAMBO LIPI SASA??? BOFYA KUJUA

NI Gladness Mallya
Stop! Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemzuia Mwigizaji Tamrina Poshi ‘Amanda’ kufanya shoo aliyokuwa ameiandaa kufuatia kudaiwa kuwa kinyume na maadili na makundi husika yalishapigwa marufuku.
NI Tamrina Poshi ‘Amanda’.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Amanda alifunguka kuwa shoo hiyo ilikuwa ifanyike wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mzalendo, Kijitonyama jijini Dar lakini ilishindikana kutokana na kupokea barua kutoka Basata ya kusitisha onesho hiLI

0 comments:

Post a Comment