+10 344 123 64 77

Monday, July 20, 2015

D'BANJ APATANA NA DON JAZZY=======>>> AAMUA KUMTAMBULISHA MPENZI WAKE KWENYE TUZO ZA MAMA...SOMA ZAIDI


Mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy wakiwa kwenye tuzo hizo.
WAKATI mashabiki wakifikiri mtafaruku kati ya mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy ukiongezeka,  D’banj aliwashangaza watu wote kwa kusema tuzo yake aliyopata katika mchuano wa MTVMAMA huko Afrika Kusini ni zawadi kwa prodyuza wake wa zamani, Don Jazzy.
D’banj akiwa na mpenzi wake.
Mwanamuziki huyo ambaye anajulikana kama The Kokomaster D’banj alishinda tuzo ya ‘Evolution Award’

0 comments:

Post a Comment