+10 344 123 64 77

Friday, July 24, 2015

HATARIIIII!!!! ABILIA MMOJA ASHAMBULIA WENZAKE KWA KISU NDANI YA DALADALA....WANANCHI WALIAMU KUFANYA HAYA KWA DADA HUYO....

Mtu mmoja aliyekuwa abiria ndani ya daladala lililokuwa likitoka mjini kuelekea Makumbusho amewashambulia kwa kisu abiria kadhaa ndani ya gari maeneo ya Magomeni na kuwasababishia majeraha makubwa, majeruhi wote wamekimbizwa Mwananyamala. Mshambuliaji huyo ameuawa na wananchi wenye hasira. Hadi sasa haijafahamika nini lililkuwa lengo la mshambuliaji huyo.

0 comments:

Post a Comment