+10 344 123 64 77

Thursday, July 23, 2015

MANMTIA HOFU!!!!!! Wema ya kukatwa jina lake kwa kugombea ubunge wa viti maalum...SOMA ZAIDI HAPA


DU! Kazi kwelikweli! Habari ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa mrembo huyo ameingiwa na hofu

0 comments:

Post a Comment