+10 344 123 64 77

Thursday, September 10, 2015

RECORD MPYA!!!! IMEVUNJWA KWA KWA KUWA HUYU NDIE MWENYE UMRI MDOGO...BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

.
Wakati headlines za Uchaguzi sasa zikuchukua nafasi kuanzia kwenye Magazeti, TV, Radio na sehemu nyingine za kutolea habari sio mbaya ukifahamu pia kuhusiana na Rais  ambaye anatajwa kuwa na umri  mdogo zaidi Duniani.
.
Rais huyo aliingia madaraka mwezi mei, 2015 akiwa ameshinda kwa zaidi ya 52% ya kura zote zilizopigwa, Duda alitimiza umri wa miaka 43 mwezi mei tarehe 16 mwaka huu.

0 comments:

Post a Comment