+10 344 123 64 77

Thursday, October 1, 2015

UNYAMA!!!! ETI SHANGAZI AMCHOMA MIKONO MTOTO HUYU!!! BOFYA KUJUA ZAIDI HAPA

Niukatili ulioje ambao amefanyiwa mtoto Dorine (12), denti wa darasa la nne Shule ya Msingi Makabe, Mbezi jijini Dar.Dorine anadaiwa kuunguzwa na maji ya moto yaliyochemshwa kwenye jiko la gesi na walezi wake wa karibu akiwemo shangazi yake aliyetajwa kwa jina moja la Scola ambaye alitiwa mbaroni na bibi yake ambaye haikujikana alipo.



Katika tukio hilo la Septemba 26, mwaka huu, Scola alidaiwa kutekeleza tendo hilo, chanzo kikielezwa ni upotevu wa shilingi 20,000.Kwa mujibu wa chanzo makini, Scola

0 comments:

Post a Comment