+10 344 123 64 77

Thursday, May 7, 2015

MUST READ!!!! THE STORY OF THE ON OF THE GREAT ARTS Irene ====read more

IRENE I

Inawezekana Irene Uwoya ameamua kuweka sehemu ya historia ya maisha yake kwenye ukurasa wake waInstagram???
Sio kitu kigeni sana kuona mtu anafaya hivyo lakini post aliyoweka pamoja na picha yake huenda ina vitu vingine ambavyo hatukuwahi kujua kuhusu yeye.. ni staa wa movie, swali jingine ni hili; hii ni sehemu ya movie au ni true story ya kwake yeye kuhusu maisha yake??
Kama ni ishu ya kweli kabisa kuhusu maisha yake basi hii ni part 1, picha na kile allichoandika viko hapa.
 irene

INAENDELEA...”bunge na kumaliza la saba!nikaenda kidato cha kwanza st.thomas gongolamboto mpaka kidato cha pili badae nikaenda Uganda nikasoma mpaka kidato cha 3 nikarud bongo kuchukua pass mpya coz yakwanza ilikuwa imesha isha…..ilikuwa ijumaaa nikiwa nimeenda kwajili ya pass mpya nirud shule!!!ndipo nilikutana na kaka mmoja mrefu,mweusi akaniita malaika”nikashangaa mhh mbona sio jina langu ?akanisogelea a kanambia kwa lugha ya kingereza Naitwa Patrick ponce monzanga!nikawa na nashangaaa coz sikuwa namjua’nikamwambia naitwa irene akanambia naomba nikwite malaika coz ur sooo beautiful huku akinipa mkono…nilipo mpa mkono tuuu basiii kumbe nilikuwa nimejitengenezea bomu bila kujua…..ITAENDELEAAA“– @

0 comments:

Post a Comment