+10 344 123 64 77

Saturday, May 9, 2015

SOMA HAPA!!! Aunty Lulu: "NAKOSA AMANI" soma kisa kamili

Aunty Lulu: Makalio Yananikosesha Amani!

     
    Staa mrembo wa Bongo Movies Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ Ameliambia gazeti la Risasi kuwa wanaume wengi wamekuwa wakimiminika kutaka baada ya kusambaziana kuwa mwigizaji huyo analitumia umbo lake ndivyo sivyo.
    “Nawaomba wanaume waache kunifatafata jamani wananikosesha amani kwani mimi nimefundwa  najua madhara ya hako kamchezo kabaya, siwezi kuthubutu hata  mara moja,” alisema Aunty Lulu.

    0 comments:

    Post a Comment