+10 344 123 64 77

Monday, May 25, 2015

WEMA>>> CHUNGU CHA TATU!!!! KAZI YANGU YANIFAIDISHA

Mapenzi Yampa Ulaji Wema ‘Chungu cha 3’

    NI Muigizaji na Muongozaji mkongwe wa bongo movies, Jacob Stephen ‘jb,  amesema aliamua kumpa uchezajui mkuu wa filamu yake ya CHUNGU CHA TATU staa mremb0 Wema Sepetu kutokana na umahiri wa masanii huyu kwas sababu amemudu sana sehemu za nmapenzi.
    Aidha, Jb alisema Wema huwa makini katika uigizaji  wa nafasi yake anayopangiwa na pia ni mwepesi wa kukubali kuwekwa  katika kila sehemu atakay0ambiwa acheze.
    Watu watarajie mambo mazuri kutoka katika filamu  ya chungu cha tatu ambayo itakuwa spkoni siku yoyote kuanzi sasa alisema JB.
     ‘Filamu hiyo nimemchagua wema kuwa muhusika mkuu kwa sababu anajua kuigiza sehemu husika anazopangiwa na hasa katika filamu za mapenzi.
    Nipashe

    0 comments:

    Post a Comment