+10 344 123 64 77

Saturday, May 16, 2015

WEMA:: SIMPENDI TENA DIAMOND,,, I DONT AFRIED OFF ZARI SASA NI MIMI NA MAISHA YANGU===soma zaidi

Wema Asema Hampendi Tena Diamond, Hatishwi na Zari, Yeye ni Team Kiba

     
    Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema alipokuwa akihojiwa na Sebo  mtangazaji wa EFM, kwenye kipengele kiitwacho Kabali ambapo wema aliambiwa  ajibu maswali kadhaa kama ndiyo au hapana na badaye kupewa nafasi ya kifafnua.
    Wame aliulizwa kama bado anampenda Diamond, na kama Zari ni tishio kwake kwa upande wa fasheni ambapo yote hayo Wema alijibu hapana na kijibu ndiyo alipoulizwa kama yeye ni Team Kiba.
    Akifafanua kuhusu kuhusu kutompenda tena Diamond Wema alisema kuwa kila kimkumbuka Diamond anamkumbuka kwa  mengi mabaya .

    “Hapana simpendi [Diamond], yalishaisha hayo, nilishampendega, niliwahi kumpenda sana, lakini hamna tena, yaani hata sishtuki,” Wema alisema.

    0 comments:

    Post a Comment