+10 344 123 64 77

Saturday, May 23, 2015

ZARI!!! ATESWA NA PICHA ZA KATOON===>>hebu angalia hapa

Mchumba wa Mbongo Fleva, star Diamond Zarina Hassan ‘Zari’.

Supastaa Diamond Platnum zakiwa na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘Zari’.
Jitihada za kuzungumza na Zari hazikuzaa matunda lakini bahati nzuri Diamond alipatikana na kufafanua:
 “Ni kweli zimemsumbua baby lakini nimemuweka sawa kwa kuwa najua ni mambo ya mitandao, hakuna ukweli wowote.”

ZARI, PEDESHEE KATUNZI LAIVU!

0 comments:

Post a Comment