+10 344 123 64 77

Wednesday, June 24, 2015

HIZI NDIZO SABABU ZINAZOMFANYA Hemedy PHD Akerwa na Uadui Kwenye Sanaa....BOFYA KZIJUA HAPA


Hemedy PHD Akerwa na Uadui Kwenye Sanaa
NI Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Hemmed Suleiman  ‘Hemedy PHD’ambaye hivi karibuni atatamba  mtaani na filamu ya FB Profile ameweka waz juu ya kukerwa na namna ushabiki  wa sanaa nchini unavyopelekwa kwenye uadui na sio ushindani  kam ilivyokuwa miaka michache iliyopita.
>>>Kiukweli kwenye sanaa tumeanza kwenda kwenye njia mbaya sana,aina hii ya ushabiki wa mtindo wa uadui itatupeleka pabaya sana..Mashabiki wa Ali Kiba , Wema sepetu na Diamond  wanapaswa kuliona mapema tatizo hili,” alisema mkali huyo wa filamu ya Facebook.
Aidha , Hemmed amewaomba mashabiki wake kujiandaa kuipokea filamu yake mpya ya  facebook Profile ambapo ndani ya filamu hiyo amaeigiza na wasanii  Meya Shabani,Thadeo, Neema na wengineo, <<<Ni filamu nzuri sana itakayowavunja mbavu na kuwafundisha  naomba muinunue itakapotoka”.

0 comments:

Post a Comment