+10 344 123 64 77

Saturday, June 13, 2015

RAY C......ALIA MACHOZI LEO!!!! NINI KISA??? BOFYA HAPA UANGALIE SABABU YA YEYE KULIA

Ray CRay C ni staa wa muziki TZ ambae aliamua kuachana na matumizi ya dawa za kulevya… leo katika Ukurasa wake wa Instagram na kupost video tatu… analalamika kwamba yuko Hospitali na amekosa dawa.
====>>Nashindwa kuvumilia, niko hapa kitengo cha madawa. Mpaka sasa hivi sijapewa dawa, kwa sababu nilipost ile post nyingine wananifanyia kama makusudi.. Nikikosa dawa wanataka nirudi kuvuta unga?>>>===–@rayc1982
Wana maamuzi yao lakini unakuta mtu umechelewa kama mimi natoka Bunju kila siku lazima niweke mafuta ya elfu 30 unawaambia nina tatizo bado ukifika unaambiwa imekuwa kama shule“>>>=== –@rayc1982
Ile dawa inauma.. Mwili unauma nasikia baridi mifupa inauma.. alafu wanajua lakini wanatunyima“>>>====–@rayc1982



0 comments:

Post a Comment