+10 344 123 64 77

Tuesday, August 18, 2015

MATESO!!!! MATESO......ATESEKA AOMBA MSAAADA.......BOFYA KUJUA ZAIDI HAPA

NIkweli hujafa hujaumbika! Leo unaweza kuamka mzima lakini kesho ukafika ukiwa huwezi! Unaweza kusema ‘mi naumwa’ kumbe hujawaona wagonjwa wenyewe. Ukishawaona, utagundua kuwa, ugonjwa wako hahuitaji tabibu

0 comments:

Post a Comment