+10 344 123 64 77

Thursday, September 17, 2015

RIHANNA AAIBISHWA NA BOYFRIEND WAKE MPYA....NI NOUMA SANA

Nyota wa muziki wa Pop, Rihanna.
New York, Marekani
NYOTA wa muziki wa Pop, Rihanna hivi karibuni alijikuta akiaibika mbele ya mashabiki wake baada ya kuvuja kwa kipande cha video katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha mpenzi wake mpya, Travis Scott akitumia dawa za kulevya aina ya Cocaine.
Katika kipande hicho cha video, Scott alionekana akiwa nyuma ya gari akijidunga dawa hizo huku akiongea

0 comments:

Post a Comment