+10 344 123 64 77

Sunday, January 10, 2016

Waziri wa Afya mguu kwa mguu kwa kila mgonjwa Hospitali ya Mkoa Geita...SOMA ZAIDI

Weekend ya January 10 inakwenda kukamilika mtu wangu, lakini kabla hatujaikamilisha acha ni kusogezee hii ya Waziri wa Magufuli ambae kwenye hii kasi ya Hapa Kazi tu, hataki utani kazini…ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wiki hii aliamua kwenda mguu kwa mguu kwenye Hospitali Teule ya Mkoa waGeita kuwaona wagonjwa na kuongea nao kila mmoja aseme tatizo alilokutana nalo kwenye kupatiwa huduma; – Ummy Mwalimu Waziri wa Afya
IMG-20151220-WA0012
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akiongea na wagonjwa wodini
IMG-20151220-WA0011
IMG-20151220-WA0017
Ummy Mwalimu akipata maelezo Hospitali ya Mkoa Geita
Kumsikiliza Waziri wa Afya alivyopita kwa kila mgonjwa, bonyeza play hapa

0 comments:

Post a Comment