+10 344 123 64 77

Saturday, May 9, 2015

BreakingNews::BreakingNews:: POLISI WAMESIBITISHA HILI BASI LINAUNGUA KWA MOTO LEO HII!!!===>>soma zaidi mkasa

DX 5

DX 4Amesema ====>>>Ni kweli basi la Dar Express saa saba mchana kwenye kijiji ndani ya Wilaya ya Bagamoyo Pwani lilipata hitilafu likaanza kuungua lenyewe, bahati nzuri abiria wote wamewahi kushuka salama ila basi limeteketea lote, hawakuwahi kulizima, hakuna yeyote aliejeruhiwa
DX 3

0 comments:

Post a Comment