+10 344 123 64 77

Wednesday, May 27, 2015

DOKII!!!! WANAOSEMA NIMEFULIA KWENYE SANAAA YA FILAMU WASUBILI SASA NINAKUJA KIIVI SASA

Dokii: Wanaosema Sina Jipya Kwenye Filamu Wasubiri

NI Staa mkongwe wa Bongo movies, Ummy Wenceslaus >>Dokii<< amesema kuwa wanaosema hana jipya kwenye Tania ya filamu wasubiri akusanye fedha kwenye kampeni za  uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madaiwani unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu kasha watajua kama amekwiusha au la.

>>>>Watu wengi wanasema  uwezo wangu wa kuigiza umeisha  ndiyo maana  sionekani kwenye filamu nyingi  wanashindwa kutambua kwamba mimi ni mtafutaji pesa na ssa na subiri kipindi cha kampeni  za makada wa CCM zianze ili nianzekupata pesa kinsha ndipo nianze kazi hii ya kuigiza alisema msanii huyo.

0 comments:

Post a Comment