+10 344 123 64 77

Friday, May 29, 2015

IN BONGO!!!! BATULI::: IVI WAZAZI WANAFURAHIA NGUO ZA UTUPU??? ANGALIA MAONI YAKE SASA

Batuli: Wazazi Wanafurahia Nguo za Utupu

NI =====>>Staa wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ameweka wazi kwamba tabia ya waigizaji wa kike kuvaa nguo za nusu uchi huwa zikifurahiwa na wazazi wa waigizaji hao.
Batuli alieleza hayo baada ya kuulizwa kwanini waigizaji wa kike wanapendelea mavazi ya nusu uchi wachezapo katika filamu zao.
>>>Hapo tatizo ni wazazi wa waigizaji hao wanaovaa nguo hizo wanaonyesha wanafurahia, kama wangechukizwa na tabia hiyo wasingevaa nusu uchi na kuiahibisha tasnia nzima na wanawake kwa ujumla,<<<alieleza Batuli.
Batuli mwenye ndoto ya kuasili mtoto wa kike, aliongeza kwa kuwataka waigizaji wenzake wavae mavazi ya kujitambua na yenye stara kwao, wazazi wao na jamii inayowazunguka.

0 comments:

Post a Comment