+10 344 123 64 77

Thursday, May 14, 2015

IN MOVE 'The Hard Way'!!! ANGALIA ANT ALIVYOCHEZA KAMA AFISA FULANI VILE====>>hapa


     
    Hard way ni filamu kali sana inamhusu kijana Harrison King ambaye ameishi na kulelewa na mzazi mmoja tu ambaye ni Mama, pamoja na yote Harrison ni mtaalamu wa kompyuta. Anafuatwa na kundi la uhalifu linalojulikana kama Triple six wakimtaka atumie uwezo wake wa kompyuta kuhamisha pesa kutoka kwenye akaunti moja kwenda kwenye akaunti nyingine.
    Harrison anakataa Triple Six wanamuua mke wake ambaye ni mjamzito, Pamoja na hayo wanamteka Mama mzazi wa Harrisson

    Harrison anabaki peke yake anamfuatilia Trace ambaye ndiye mmiliki wa kundi la Triple six ili amwue lakini anagundua kuwa Trace ni dada yake tumbo moja, ni inayokutanisha familia moja katika majanga, Jambazi Trace anagundua kuwa alimuua mama yake mzazi pia anagundua alimuua mke wa kaka yake pamoja na mtoto tumboni ndipo neno la filamu linasoma THE HARD WAY.
    Filamu hiyo ambayo ni move bomba sana ambayo inawakutanisha wasanii nyota kama Sydney Van Khanga ‘Harrison’, Aunty Ezekiel aliyeigiza kama Sasha
    Possiana Mmasy alicheza kama Tracy wasanii wengine ni Salehe Bagaza, Rashid Fundikira na wasanii waotamba katika soko la Filamu Swahilihood kwa utamu zaidi

    .

    0 comments:

    Post a Comment