+10 344 123 64 77

Thursday, May 14, 2015

MMMHH!!! JE?? NI KWELI ANAPAKA VIPODOZI VYA KUMFANYA AWE MWEUPE???====>>soma zaidi


linah half


after some comment kadhaa kutoka kwa mashabiki na watu wanaomfuata Linah kupitia mtandao wa Instagram, mwenyewe aliamua kuandika maneno ambayo yametafsiriwa kama ni majibu kwa zile comment ambazo si nzuri kwake.
kwenye post yake Linah alianza kwa kuandika Jamanii nimechoka Na kufuru zenu, hivi naomba niulize ufupi wangu, kukomaa kwangu, mkorogo wangu vinawahusu nini? Ni naomba mfatilie kazi zangu tu vingi be ni vitu vya kawaida kila binadamu kuambiwa kasoro zake!

0 comments:

Post a Comment