+10 344 123 64 77

Tuesday, June 16, 2015

IN BONGO!!!!! AJA KWA STAIL HII SASA BAAADA YA KUTOKA KWENYE UZAZI.......SOMA ZAIDI SASA

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

NI Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.
Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.
Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha kukataa kuhusika katika malezi ya mtoto aliyezaliwa.
Hivyo, alisema anajipanga kutoa  elimu kuwa  uzazi  ni wakuheshimiwa na hususan kwa wanaume.
Aunt yupo katika maandalizi  ya filamu hiyo ambayo atawashirikisha  wasanii wakubwa na chipukizi alisema......

0 comments:

Post a Comment