Home
/ WADADA WA BONGO BWANA!!!!!! AMPIGA SIMU BABU JUNIOR LIVE BILA CHENGA
Thursday, June 4, 2015
WADADA WA BONGO BWANA!!!!!! AMPIGA SIMU BABU JUNIOR LIVE BILA CHENGA
NI Msichana mmoja mrembo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja hivi karibuni alifanya kitendo cha aibu baada ya kunaswa akimchomolea simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.Tukio hilo la kushangaza lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bills Posta jijini Dar, ambapo Bob Junior alikuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa wakipafomu.
Surya
Out too the been like hard off. Improve enquire welcome own beloved matters her. As insipidity so mr unsatiable increasing attachment motionless cultivated. Addition mr husbands unpacked occasion he.
0 comments:
Post a Comment