Mchezo huo umemalizika kwa West Ham United kuibuka kifua mbele kwa kuifungaArsenal magoli 2-0.
Koyaute alianza kuifungia goli West Ham katika dakika ya 43 ya kipindi cha kwanza, kabla ya Zarate kufunga goli la pili na kuhitimisha ushindi muhimu dhidi ya vijana waArsenal Wenger.
0 comments:
Post a Comment