+10 344 123 64 77

Sunday, January 31, 2016

ENTERTAINMENT Good News: Mabibi na mabwana Diamond Platnumz kazinyakua tuzo nyingine kubwa usiku wa leo

Mmiliki wa hit song ya ‘Utanipenda‘ Diamond Platnumz amezidi kuziandikaheadline katika ulimwengu wa sanaa baada ya usiku wa leo kuzinyakua tuzo mbili za Hipipo Awards zilizofanyika Uganda.
Ushindi alioupata ni Nyimbo bora Afrika Mashariki na Video bora Afrika Mashariki ambazo zote ni kupitia wimbo wa Nana.
Baada ya ushindi kupitia account yake ya Instagram Diamond aliandika maneno haya
MONDDDDDDDDDDD
Wow! Realy wanna Thank GOD for keep blessing the innocent kid… also wana thank all Media and My Loyal fans for the Big love.. Two Awards tonight on @HipipoAwardsUGANDA…EAST AFRICA SUPER HIT#NANA

0 comments:

Post a Comment