+10 344 123 64 77

Friday, May 20, 2016

Tuko kwenye saa 48 za kujua mapya ya Alikiba, jingine ni hili la The Source Magazine...

Tunaendelea kuyafahamu mambo 7 ambayo yanaendelea kutangazwa ndani ya saa 48 kumuhusu mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ambaye alikuja South Africa juzi May 18 na jana May 19 amesaini mkataba na kampuni maarufu ya muziki duniani iitwayo Sony Music.
Mkataba aliosaini Alikiba ni kama ule aliosaini Davido wa Nigeria, ni mkataba wa dunia nzima na sio Afrika kama baadhi ya Wasanii walivyosaini akiwemo Rose Muhando, na sasa moja kati ya yale mambo saba hili ni jingine… Alikiba ataandikwa kwenye toleo lijalo la jarida la Marekani maarufu kwa kuandika habari za mastaa wa muziki The Source Magazine.

0 comments:

Post a Comment