+10 344 123 64 77

Thursday, July 30, 2015

MH... MBIONI KWENYE KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA ............

LOWASA (1)
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.
LOWASA (2)
WAZIRI MKUU wa zamani, Mhe. Edward Lowassa hivi punde amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Lowassa amekabidhiwa fomu hiyo na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe kwenye ofisi za Makao Makuu ya chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. Lowassa alijiunga rasmi na Chadema juzi akitokea CCM baada ya kuondolewa kwenye mchakato wa kuwa mgombea urais wa chama hicho akidai kuwa jina lake liliondolewa kwa mizengwe

0 comments:

Post a Comment